Mwalimu adimu anayefunza kutoka kitandani pake
Published on: October 06, 2017 09:22 (EAT)
Mwalimu mmoja mlemavu wa miguu angali anatia bidii katika kazi yake licha ya kuwa hawezi kutembea. Anajikakamua na kuwafunza watoto akiwa kitandani jijini Dar Es Salaam Tanzania.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment