Mwana atuhumiwa kumzika mamake akiwa hai
Published on: August 25, 2017 08:53 (EAT)
Mtazamaji hebu tafakari kisa cha mwana kumzika mamake akiwa hai. Mwanaume mmoja katika kaunti ya Bungoma anazuiliwa na polisi baada ya kushukiwa kutaka kumzika mamake akiwa hai.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment