Mwanafunzi Aliyetishiwa Kuchpwa Na Mwalimu Apotea

Familia moja katika eneo la Nandi Hills wanamtafuta mwanao wao mwenye umri wa miaka 14 aliyepotea kutoka shule ya msingi ya kibinafsi ya Griffins Kipriria Hills Academy baada ya mwalimu wake kusema atamwadhibu siku itakayofuata baada ya kumpata na makosa. Ni kisa ambacho kimesalia kuwa kizungumkuti kwa wazazi wa kijana huyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories