Mwanafunzi aliyewaokoa wenzake kwenye mkasa wa moto aendelea kupata nafuu

Uchunguzi umebaini kuwa wakati wa mkasa wa moto katika shule ya upili ya wasichana ya Moi hapa Nairobi, kulikuwa na wanafunzi mia tatu ndani ya bweni hilo huku kumi na wanane wakiwa si wa kidatu cha kwanza. Hata hivyo kulingana na baadhi ya wazazi ni afueni kuwapata wanao wakiwa hai huku wakiombea familia za wale hawajawapata wana wao.

Tags:

Kibera Moi Girls

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories