Mwanafunzi auliwa katika shule ya upili ya Dagoretti, Nairobi

Kwa kawaida ni furaha ya mzazi pale unapompeleka mtoto wako shuleni akapate elimu ya dunia ukijuwa fika kwamba hiyo ndio tegemeo lake siku za usoni, lakini kwa familia moja hapa jijini Nairobi ilipata pigo baada ya mwanao kutoka shule ya upili ya Dagoretti kufariki hapo jana huku familia sasa ikitaka haki itekelezwe na aliyetenda kitendo hicho kufunguliwa mashtaka.

Tags:

John Kiarie Dagoreti high school

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories