Mwanahabari wa Citizen TV ashambuliwa na walinzi wa Gavana Lusaka
Published on: June 06, 2017 09:25 (EAT)
Mwandishi wa Citizen TV katika kaunti ya Bungoma Namisi Cheptai anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na walinzi wa gavana wa Bungoma Ken Lusaka. Walinzi hao walimvamia Namisi kufuatia taarifa iliyopeperushwa kuhusiana na ghasia zilizozuka katika mji wa Bungoma baina ya wafuasi wa Gavana Lusaka na wale wa wapinzani wake iliyopelekea kupigwa risasi na kuuawa kwa mtu mmoja.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment