Mwanajeshi atoweka wiki tatu kabla ya kufuzu
Published on: December 14, 2017 08:01 (EAT)
Kijana mmoja aliyekuwa amesajiliwa katika jeshi kitengo cha kadet na kupitia mafunzo ya miaka mitatu ya mazoezi makali, hajulikani alipo baada ya kutoweka wiki tatu tu kabla ya kufuzu. Ni kisa kinachomnyima usingizi Mama Mary Amatu, ambaye amekuwa akimsaka mwanawe Roy Munene baada ya kutoweka walipokuwa wakipokea mafunzo katika msitu Wa Mlima Kenya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment