Mwanaume, 20, anyofoa nyeti zake, Busia

Mwaname mwenye umri wa miaka 20 anaendelea kuuguza majeraha katika hospitali ya rufaa mjini Busia baada ya yeye kujinyofoa sehemu zake za siri. Inakisiwa kuwa Jafaar Rashid alitekeleza kitendo hicho kufuatia mawazo mengi baada ya kudaiwa kuwa alilawitiwa na baadhi ya maafisa wa polisi kutoka kituo cha Nambale.

Tags:

Busia Nyofoa sehemu nyeti

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories