Mwanaume, 20, anyofoa nyeti zake, Busia
Published on: October 08, 2016 10:31 (EAT)
Mwaname mwenye umri wa miaka 20 anaendelea kuuguza majeraha katika hospitali ya rufaa mjini Busia baada ya yeye kujinyofoa sehemu zake za siri. Inakisiwa kuwa Jafaar Rashid alitekeleza kitendo hicho kufuatia mawazo mengi baada ya kudaiwa kuwa alilawitiwa na baadhi ya maafisa wa polisi kutoka kituo cha Nambale.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment