Mwanaume auliwa na mpenziwe Meru

Mwanamke mmoja anadaiwa kumuua mpenziwe kwa sababu zisizoeleweka walipokuwa wakijistarehesha ndani ya baa huko Meru. Mwanamume huyo ambaye alikuwa mwalimu katika shule ya upili ya Meru Muslim alidungwa kisu mara tano na kufariki papo hapo.

Tags:

meru

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories