Naibu Rais aongoza kikosi cha Jubilee Bungoma

Naibu Rais William Ruto ametetea hatua ya Jubilee ya kutaka kufanyia marekebisho sheria za uchaguzi akisema kuwa hatua hiyo itasaidia katika kuepusha taifa la zogozogo la marejeo ya uchaguzi kama ilivyoagizwa na mahakama ya juu. Ruto aliyasema haya alipoeendeleza kampeni za jubilee katika kaunti ya Bungoma

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories