Naibu rais aongoza kikosi cha Jubilee Naivasha
Published on: March 24, 2017 08:26 (EAT)
Naibu rais William Ruto amekashifu viongozi wa upinzani akisema kuwa hawana ajenda ya kuendeleza taifa na kuwarai wakenya kuunga mkono serikali ya jubilee katika uchaguzi wa mwezi Agosti. Ruto aliyasema haya alipoendeleza kampeni za jubilee katika mji wa Naivasha kaunti ya Nakuru.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment