Naibu rais aongoza kikosi cha Jubilee Naivasha

Naibu rais William Ruto amekashifu viongozi wa upinzani akisema kuwa hawana ajenda ya kuendeleza taifa na kuwarai wakenya kuunga mkono serikali ya jubilee katika uchaguzi wa mwezi Agosti. Ruto aliyasema haya alipoendeleza kampeni za jubilee katika mji wa Naivasha kaunti ya Nakuru.

Tags:

JUBILEE NAIVASHA william ruto

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories