NASA kuzindua kamati itakayoshughulikia mipango ya kuapishwa

Muungano wa upinzani, NASA, utazindua karibuni kamati maalum itakayoshughulikia mipango ya kuapishwa kwa kinara wake Raila Odinga na Kalonzo Musyoka. Wawili hao wakipangiwa kuapishwa tarehe 30 mwezi huu, mikakati ya kongamano la kitaifa la wananchi litakalotoa maazimio ya jinsi taifa litaundwa upya inarejelewa jumapili hii.

Tags:

NASA David Ndii Raila swearing in

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories