NASA yakongamana katika uwanja wa Kamukunji
Published on: July 07, 2017 08:28 (EAT)
Audio By Vocalize
Kiongozi wa NASA Raila Odinga leo ameongoza viongozi wengine wa upinzani kwenye uwanja wa Kamukunji akiwarai wafuasi wake kumpigia kura hapo tarehe nane mwezi ujao.


Leave a Comment