NASA yashutumu IEBC kwa madai ya kupuuza mapendekezo yao
Published on: September 14, 2017 09:04 (EAT)
Huku mkutano kati ya muungano wa Nasa na tume ya uchaguzi ukitibuka baada ya Nasa kususia mkutano huo, muungano wa Nasa sasa unasema kuwa haukualikwa kwenye mkutano wowote na kuwa haitafanya mikutano na IEBC ila itahusika tu kwenye mkutano wa kitaifa wa wadau. NASA inalalamika kuwa tume ya uchaguzi inapuuza mapendekezo iliyotoa na upungufu uliotajwa na mahakama ya upeo ili uchaguzi uwe huru na wa haki.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment