Nasa yazidi kujiimarisha Ukambani

Muungano wa Nasa umejizatiti kushikilia ngome zao ambapo wanawarai wafuasi wao kujitokeza kwa wingi katika marudio ya uchaguzi ili kuwapa Raila Odinga na Kalonzo Musyoka ushindi. Viongozi hao ambao walikuwa katika kaunti ya Machakos hii leo walitaja eneo hilo kama moja wapo ya maeneo ambapo kura zao za urais na ugavana ziliibiwa. Aidha wamewataka wafuasi wao kusimama imara na kutoshurutishwa na wale ambao wamehamia Jubilee baada ya kushindwa.

Tags:

raila odinga kalonzo musyoka NASA Ukambani Wavinya Ndeti Alfred Mutua

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories