NCCK: Chanjo Ya Pepopunda Ifanyiwe Utafiti
Published on: November 09, 2014 07:54 (EAT)
Baraza la kitaifa la makanisa nchini NCCK, limeitaka serikali pamoja na kanisa katoliki kufanya utafiti wa kina ili kutatua mzozo uliopo kati ya kanisa hilo na serikali kuhusiana na chanjo ya pepopunda inayo fadhiliwa na serikali.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment