NEMA yaonesha vikapu visivyoharibu mazingira

Serikali kupitia wizara ya mazingira na halmshauri ya NEMA hii leo imeandaa maonyesho yaliyoanza siku ya leo na kutarajiwa kuisha kesho ya baadhi ya watengezaji wa mifuko isiyo ya plastiki kama mbinu ya kukabiliana na marufuku inayonukia iliyofanyika katika jumba la KICC. Na kama anavyaoarifu mwanahabari Saida Swaleh baadhi ya wafanyibiashara huenda wana majawabu ya siri ya kuhifadhi vyakula majumbani baada ya kuvinunua dukani.

Tags:

NEMA plastic bags ban

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories