NEMA yazidisha oparesheni dhidi ya vilabu vinavyotoa kelele nyingi
Published on: January 13, 2018 07:56 (EAT)
Halmashauri ya usimamizi wa mazingira nchini NEMA ameahidi kuzidisha vita dhidi ya udhia utokanao na kelele kwenye maeneo ya burudani. NEMA imesema kuwa itazidi kuendesha opresheni za kufunga, kuwakamata na kuwashtaki wamiliki na wasimamizi wa vilabu vitakavyokiuka sheria zilizopo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment