Njaa yanukia, viwavi wakiendelea kuvamia mahindi
Published on: September 19, 2017 08:06 (EAT)
Wakulima wa mahindi kutoka eneo la kaskazini mwa kuresoi kaunti ya Nakuru wametoa onyo kwa serikali kuwa kuna uwezekano wa kukosa mahindi ya kutosha kufikifikia mwaka ujao kwa sababu ya uvamizi wa viwavi walioharibu mahindi mashambani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment