Nyuki wavamia watu nje ya mahakama

Huku majaji wa mahakama ya upeo wakisoma hukumu yao kikamilifu, kizaazaa kilizuka nje ya mahakama hiyo pale ambapo bumba la nyuki liliwavamia waandamanaji, wanahabari na hata maafisa wa polisi baada ya kuchokorwa na waandamanaji waliokuwa wakikwepa ukali wa vitoa machozi walivyorushiwa baada ya kuzua rabsha.
OCPD wa Lang’ata Elija Mwangi, alijipata pabaya baada ya kushambuliwa na wadududu hao wenye hasira.

Tags:

supreme court david maraga Bees attack

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories