Operesheni ya kuhakikisha wanafunzi wamerudi shuleni yaimarishwa pwani
Published on: January 19, 2018 08:34 (EAT)
Mshirikishi mkuu wa polisi kanda ya pwani Nelson Marwa ametoa onyo kali kwa wazazi watakaokiuka amri ya wizara ya elimu ya kuwapeleka watoto shule. Haya yanajiri huku serikali ikitangaza kuanza usambazaji wa vitabu na vifaa vya mtaala mpya wa elimu wiki ijayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment