Pasipoti mpya ya Afrika Mashariki yazinduliwa

Kenya hii leo imezindua paspoti mpya kabisa za kielektroniki kufuatia makubaliano ya nchi za Afrika Mashariki kwamba wananchi wake wawe na vibali sawa vya kusafiri nje ya nchi. Sasa unatakiwa kuwa na pasipoti hii ifikiapo mwezi Desemba 2018.

Tags:

Fred Matiang'i Immigration East african E-passport

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories