Polisi awashawishi wahalifu warudishe silaha
Published on: September 09, 2017 08:25 (EAT)
Huku joto la kisiasa likizidi kuongezeka kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais, afisa mmoja wa polisi katika kaunti ya Trans Nzoia ameanzisha mchakato wa kuhubiri amani miongoni mwa wakazi wa eneo hilo kabla na baada ya uchaguzi huo. Na kama anavyoarifu Collins Shitiabayi afisa huyo anazunguka nyumba kwa nyumba akiwahamasiha wakazi wasikubali kuchochewa kuzua ghasia.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment