Polisi wa kuzima fujo wazingira bunge
Published on: December 28, 2016 08:19 (EAT)
Bunge la seneti alasiri hii limechukua uamuzi wa kuahirisha mjadala wa mabadiliko ya sheria za uchaguzi na hivyo kupunguza jazba za kisiasa zilizokuwa zinatishia umoja na mshikamano miongoni mwa wanasiasa na wananchi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment