Polisi walaumiwa kwa kutumia nguvu kupita kiasi

Mamlaka huru ya kutathmini mienendo na nidhamu ya polisi I-POA imeanzisha uchunguzi kubaini iwapo polisi walitumia nguvu kupita kiasi kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi. Hatua hii imesababioshwa na kuenea kwa picha na video zinazoonyesha polisi wakiwapiga kitutu baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho waliokuwa wakiandamana hapo jana.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories