Polycarp Igathe ajiuzulu kama naibu gavana wa Nairobi

Naibu gavana katika kaunti ya Nairobi Polycarp Igathe amejiuzulu. Igathe amesema kuwa ameshindwa kupata imani kutoka kwa gavana wa jiji Mike Sonko. Kujiuzulu kwa Igathe kumejiri kufuatia manunguniko baada ya uchaguzi uliopita.

Tags:

Mike Sonko JUBILEE Nairobi Polycarp Igathe

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories