Raila amtaka Rais Kenyatta kujiuzulu

Muungano wa Nasa unasisitiza hauridhiki na tarehe ya mchuano mpya wa urais, hadi masuala tata kuhusu maandalizi ya mchuano huo yashughulikiwe kikamilifu. Ingawa Nasa imempa kongole mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati kwa kuuelekeza mjeledi wake kwa afisa mkuu mtendaji Ezra Chiloba kuhusiana na usimamizi wa uchaguzi wa mwezi ujao, ambao matokeo yake yalibatilishwa na mahakama ya juu, inasisitiza wadau wote wahusishwe katika maandalizi ya uchaguzi mpya wa urais. Lakini kwa upande wake, Jubilee inataka IEBC kuchapa kazi bila kuingiliwa au kushinikizwa na yeyote.

Tags:

IEBC raila odinga NASA Wafula Chebukati Ezra Chiloba Repeat election

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories