Raila asema hakuna uchaguzi bila mabadiliko katika IEBC

Muungano wa Nasa sasa unataka mkurugenzi wa mashtaka ya umma Keriako Tobiko kuhakikisha kuwa maafisa wa IEBC waliohujumu uchaguzi wamechukuliwa hatua za kisheria. Raila Odinga aidha amesema kuwa Nasa haitakubali uchaguzi wa marudio iwapo IEBC haitakuwa imekamilisha mikakati ya uchaguzi huru na wa haki.

Tags:

IEBC raila odinga Repeat election

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories