Raila asisitiza hawana imani na IEBC

Kinara wa NASA Raila Odinga amesema muungano wake hauna imani tena na IEBC kuandaa marudio ya uchaguzi baada ya mkutano wao kukosa kuzaa matunda hapo jana. Odinga ambaye alikutana na wajumbe kutoka kaunti za kisii—ameongeza kuwa hakuna makubaliano yoyote kati ya nasa na IEBC.

Tags:

IEBC raila odinga NASA Al Ghurair saffran Morpho

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories