Rais aamuru maafisa wa IEBC waongezewe ulinzi
Published on: August 01, 2017 08:23 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ametaka wagombea wote wa urais na maafisa wa tume ya uchaguzi kupewa ulinzi wa kutosha ili kusiwe na mushkil unaoweza kusababisha kuhairishwa kwa uchaguzi. Rais kadhalika alisifia maendeleo yaliyofanywa chini ya uongozi wake na kuwataka wananchi kuangalia rekodi hiyo watakapokwenda uchaguzini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment