Rais Kenyatta adokeza kuwa mafisadi wataadhibiwa vikali
Published on: October 20, 2016 11:39 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ametaka vita dhidi ya ufisadi kuongezwa makali ili kuweza kuafikia ufanisi unaotarajiwa na wananchi.
Akiliongoza taifa kwenye maadhimisho ya siku ya mashujaa, Rais Kenyatta alitoa changamoto kwa jaji mkuu mpya David Maraga atumie wadhifa wake kuwaonyesha wafisadi kuwa hawana nafasi tena humu nchini. Rais pia alisisitiza umuhimu wa umoja wa kitaifa na siasa zilizokomaa katika hafla hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na viongozi wa upinzani Kalonzo Musyoka na Moses Wetangula.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment