Rais Kenyatta aongoza wanajubilee Bonde la Ufa

Vinara wa Jubilee wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta hii leo wamezuru kaunti ya Nandi na kushutuma muungano wa NASA kuwa wana nia ya kuendeleza kesi za icc iwapo wataibuka washindi.  Chama cha Jubilee sasa kimewaonya wafuasi wake wasishawishiwe na ahadi za muungano wa NASA wakidai lengo lao ni kuwarudisha ICC baada ya uchaguzi.

Stephen Letoo na taarifa hiyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories