Rais Kenyatta asema upinzani unaogopa uchaguzi
Published on: September 26, 2017 07:51 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amemkosoa kiongozi wa Nasa Raila Odinga kwa wafuasi wake kuzua rabsha jijini Nairobi na katika maeneo mengine akisema kuwa serikali itawakabili wote watakaoshiriki fujo. Rais ambaye alikuwa akifanya kampeni zake huko Maai Mahiu amesema kuwa japo uhuru wa kuandamana upo kwenye katiba, hakuna aliye na haki ya kuharibu mali ya watu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment