Riboti ya moto shuleni

Usimamizi mbaya, matumizi ya pombe na kuabudu shetani vimetajwa kama baadhi ya maovu yaliyosababisha vingi vya visa vya moto kwenye shule za humu nchini kama ilivyoshuhudiwa mwaka jana. Haya ni kwa mujibu wa ripoti iliyotayarishwa na jopo maalumu lililobuniwa kuchunguza visa hivyo ambavyo viliathiri masomo katika nyingi ya shule za upili.

Tags:

Fred Matiabg'i moto shuleni

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories