Ruto aongoza brigedi ya Jubilee katika kaunti kadhaa

Naibu wa rais William Ruto ameongoza kampeini za Jubilee katika kaunti za Kericho, Kisii na Nyamira. naibu huyo na ujumbe mzima wa viongozi kadhaa wa chama hicho wamekariri kuwa wako tayari kushiriki katika uchaguzi wa Oktoba 26 huku wakimtaka kinara wa NASA Raila Odinga kukubali kushindwa na kuacha kulalamika.

Tags:

JUBILEE Migori william ruto Kuria

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories