Ruto aongoza brigedi ya Jubilee katika kaunti kadhaa
Published on: October 17, 2017 08:09 (EAT)
Naibu wa rais William Ruto ameongoza kampeini za Jubilee katika kaunti za Kericho, Kisii na Nyamira. naibu huyo na ujumbe mzima wa viongozi kadhaa wa chama hicho wamekariri kuwa wako tayari kushiriki katika uchaguzi wa Oktoba 26 huku wakimtaka kinara wa NASA Raila Odinga kukubali kushindwa na kuacha kulalamika.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment