Serikali yatangaza hali ya njaa Kwale, Kilifi
Published on: October 14, 2016 11:36 (EAT)
Zaidi ya watu milioni 1.3 humu nchini wanahitaji misaada ya haraka ya vyakula kutokana na ukame. Maeneo kama vile Kilifi, Samburu, Taita Taveta, na hata maeneo ya mto Tana yametajwa kuwa ndio yameathirika pakubwa na hali hiyo ya kiangazi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment