Shughuli za uokoaji kwenye jumba lililoporomoka Kisii zakamilika
Published on: October 12, 2017 08:30 (EAT)
Shughuli za uokoaji katika mkasa wa jumba lililoporomoka mjini Kisii hapo jana zimefikia mwisho huku watu saba wakipoteza maisha yao na mwanamke mmoja katika kaunti ya ametiwa mbaroni kwa kosa la kuwatelekeza wanawe wawili. Kwa taarifa hizi na nyingine kwa kina ni katika mseto wa kaunti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment