Shule zafunguliwa hapo kesho
Published on: May 01, 2017 07:54 (EAT)
Shule Kote Nchini Zinafunguliwa Hapo Kesho Kwa Muhula Wa Pili Mwaka Huu. Wengi Wa Wazazi Ambao Wamefika Madukani Wamelalamikia Hatua Ya Kupanda Kwa Bei Za Bidhaa Tofauti Huku Mahitaji Ya Wanafunzi Nayo Yakipanda. Tupate Taarifa Hiyo Kwa Kina kama anavyoripoti mwanahabari Makori Ongechi
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment