Shule zafunguliwa kuanza muhula wa tatu
Published on: August 29, 2017 09:01 (EAT)
Huku masomo ya muhula wa tatu yaking’oa nanga wanafunzi wamejipata wakihangaika kwenye vituo vya kuabiri magari ya umma kutokana na uhaba wa magari hayo. Katika baadhi ya vituo hivyo nauli imeongezeka maradufu, jambo ambalo limewaduwaza wazazi na wanafunzi wengi wasijue la kufanya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment