Siku imetengwa kuadhimisha sikukuu ya Iddul –Adha
Published on: September 09, 2016 09:03 (EAT)
Serikali imeitangaza siku ya Jumatatu kuwa sikukuu ya mapumziko kwa wakenya wote ili kusherehekea sikukuu ya Idd Ul Adha ambayo zitakazoadhimishwa siku hiyo na waumini wa dini ya kislamu kote duniani
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment