Siku ya watu wanaoishi na ulemavu yaadhimishwa

Kenya imejiunga na ulimwengu kuadhimisha siku ya watu wanaoishi na ulemavu. Serikali na wadau mbalimbali wametakiwa kuhakikisha kuwa sheria zinazolinda maslahi ya walemavu zinatekelezwa kikamilifu.

Tags:

people living with disabilities walemavu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories