Siku za mwizi…
Published on: June 28, 2017 08:21 (EAT)
Polisi huko Bungoma wanamzuilia mwanamke mmoja
Anatuhumiwa kuhusika na utekaji nyara wa mtoto wa shule
Washukiwa wengine watoweka huku msako ukiendelea
Watekaji nyara walitaka 250,000 kutoka kwa wazazi wa mtoto
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment