Taasisi ya utafiti wa misitu yavumbua tanuri Turkana
Published on: January 04, 2017 09:01 (EAT)
Mti aina ya Mathenge unaopatikana kwa wingi katika kaunti za Turkana na Baringo una madhara mengi. Mmea huo una miba yenye sumu na mbuzi wakila huathirika meno hata yakang’oka yote. Hata hivyo, Taasisi ya utafiti wa misitu nchini KEFRI, imevumbua mbinu mpya ya kuchoma makaa ya mti huo na kuwapunguzia wakazi madhila. Mwanahabari wetu Emmanuel Cheboit ana maelezo zaidi kutoka Turkana.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment