Taharuki yatanda Endebes kufuatia mzozo wa lishe ya mifugo
Published on: January 10, 2018 08:01 (EAT)
Hali ya taharuki imetanda katika eneo bunge la Endebes baada ya mzozo wa lishe ya mifugo kusababisha mauaji ya mtoto wa miaka tisa na nyumba zaidi ya 6 kuteketezwa. Habari hizi na nynginezo kwenye mseto wa kaunti naye Laura Otieno
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment