Ufisadi katika IEBC

Ufisadi katika IEBC

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Wafula Chebukati sasa anasema amemuandikia barua Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Noordin Haji na tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC kuchunguza ufujaji wa pesa katika tume hiyo.

Chebukati amesema haya siku chache baada ya kumtimua ofisini aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa tume hiyo ya IEBC Ezra Chiloba.

Chebukati alikuwa akizungumza katika eneo la Wote kaunti ya Makueni alikozindua zoezi la usajili wa wapiga kura.

Tags:

IEBC

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories