Uhuru aapa kuifanyia idara ya mahakama mabadiliko
Published on: September 02, 2017 08:39 (EAT)
Viongozi wa chama cha Jubilee wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta wameendelea kukashifu uamuzi wa mahakama ya juu iliyobatilisha uchaguzi wa urais. Na kama anavyoripoti Hassan Farah viongozi hao wameifokea idara ya mahakama na kusema kuwa watafanya mabadiliko makuu wakichaguliwa tena.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment