Uhuru: Uchaguzi lazima ufanyike Oktoba 26
Published on: October 18, 2017 08:22 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa taifa litaanda uchaguzi tarehe 26 mwezi huu licha ya upinzani NASA kutaka uchaguzi usifanyike na kuwaonya wale wanaowavamia maafisa wa tume huru ya uchaguzi na mipaka katika maeneo tofauti humu nchini. Rais Kenyatta pia ametangaza Jumapili kuwa siku ya kuombea taifa kabla ya uchaguzi wiki ijayo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment