Ukame wasababisha uhaba wa maji Pokot Magharibi

Uhaba wa maji kwa matumizi ya nyumbani na kwa mifugo wao unazidi kuwahangaisha wenyeji wa kaunti ya Pokot Magharibi. Hali hii inatokana na jinamizi la ukame katika maeneo mengi ya kaunti hiyo. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi hatua hii imewafanya wakazi kuambulia kukamua changarawe.

Tags:

water scarcity West Pokot

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories