Ulimwengu waadhimisha siku ya Ukimwi
Published on: December 01, 2017 08:49 (EAT)
Leo ikiwa ni siku ya ukimwi ulimwenguni, Wakenya katika kaunti mbalimblai waliiadhimisha chini ya mada, afya yangu, haki yangu. Na kama anavyotueleza mwanahabari wetu Laura Otieno, utafiti unaonesha kuwa vijana ndio wako katika hatari kubwa zaidi ya kuambukizwa virusi vya HIV.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment