Upinzani unahofia mwendo wa IEBC

Siku moja baada ya tume ya IEBC kuwahakikishia Wakenya kuwa iko tayari kuandaa uchaguzi wa Agosti mwaka huu, muungano wa NASA umeorodhesha masuala kadhaa amabayo wanasema yanaashiria tume hiyo kamwe haiwezi kuandaa uchaguzi huru na wa haki. Vinara watatu wa muungano huo wakiongozwa na raila Odinga wanasema Kando na IEBC kuchelewa kununua mfumo wa kuandaa uchaguzi, kuna masuala kadhaa yaliyo gizani na kutilia shaka uchaguzi huo.

Tags:

IEBC NASA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories